• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
TUNDUMA TOWN COUNCIL
TUNDUMA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mipango
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu
      • Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Miji na Vijijini
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa na Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya , Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Lishe bora kwa Afya imara
      • Mapambano dhidi ya Malaria
      • Mapambano dhidi ya Dawa za Kulevya
      • Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
    • Huduma ya Elimu
      • Huduma ya Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Huduma ya Elimu ya Sekondari
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya Kilimo
    • Huduma ya Mifugo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Uchumi, Mipango Takwimu
      • Kamati ya Elimu, Afya na maji
      • Kamati ya Kazi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Ethics Committee
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Instagram
    • Facebook
  • Nyaraka
    • Nyaraka
    • Miongozo

WAGANGA WAKUU WA MIKOA WATAKIWA KUFUATILIA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANANCHI

Imewekwa : May 3rd, 2023

NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais TAMISEMI (Afya), Dkt. Wilson Charles Mahera amewaelekeza waganga wakuu wa mikoa kushirikiana na wakurugenzi wa halmashauri kusimamia kikamilifu utaratibu wa mfumo wa ugavi kwenye bidhaa za afya.

Dkt. Mahera ameyasema hayo leo tarehe 03 Mei 2023 kwenye kikao kazi kilichowakutanisha Waganga Wakuu wa Mikoa na Wafamasia kilichofanyika jijini Dodoma.

Kikao hicho kimelenga kufanya tathimini ya ufuatiliaji na maendeleo katika utekelezaji na maboresho ya matumizi ya takwimu katika mikoa kupitia mbinu ya “Impact approach”.

“Sisi viongozi tuna jukumu la kusimamia timu za mikoa, halmashauri na za vituo vya kutolea huduma za afya ili viweze kuboresha upatikanaji wa bidhaa kupitia takwimu sahihi, maoteo ya bidhaa yaliyo sahihi na matumizi ya fedha kwa kuzingatia miongozo.”

Dkt. Mahera pia amewataka kuhakikisha wanatumia takwimu katika kufanya maamuzi hatua ambayo itasaidia kupunguza changamoto zinazotokana na usimamizi hafifu wa bidhaa hizo.

Pia amewataka kufanya ufuatiliaji wa utoaji wa huduma za afya katika vituo vya kutolea huduma za afya.

Aidha, Dkt. Mahera amesema Ofisi ya Rais-TAMISEMI inaendelea na mikakati kabambe ya kuhakikisha upatikanaji wa bidhaa za afya kwa asilimia 100.

“Tunamikakati ya kuhakikisha dawa, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara unakua wa uhakika na kwa asilimia 100 ili kuondoa changamoto ya upatikanaji wa bidhaa za afya kwa wananchi.”

Dkt. Mahera pia amewaagiza Waganga Wakuu wa Mikoa kufanya ukaguzi na ufuatiliaji wa bidhaa za afya katika vituo vya kutolea huduma za afya kwa kutumia takwimu.

“Hatua hii itasaidia kudhibiti upotevu na matumizi mabaya na kuimarisha matumizi sahihi ya nyenzo za mfumo wa ugavi wa bidhaa za afya.”

“Tunamshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha nyingi katika kumarisha utoai wa huduma za afya ngazi ya msingi.”

Dkt. Mahera ametumia fursa hiyo kukemea tabia ya wizi wa vifaa tiba ambao unafanyika katika baadhi ya vituo vya kutolea huduma za afya na kutolea mfano matukio ya wizi katika Hospitali ya Wilaya ya Bunda na Kituo cha
See translation


Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO HALMASHAURI YA MJI TUNDUMA June 11, 2023
  • FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO SHULE YA SEKONDARI TUNDUMA TC June 10, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA DEREVA August 29, 2023
  • TAARIFA YA MAKUSANYO YA MAPATO KWA KIPINDI CHA ROBO YA KWANZA YA MWAKA WA FEDHA 2022/23 October 07, 2022
  • Onyesha Zote

Habari mpya

  • TUNDUMA YASHIKA NAFASI YA SITA YA LISHE KITAIFA 2022/2023

    August 29, 2023
  • WAZIRI MKUU ATOA ONYO KWA WATOA LESENI ZA UCHIMBAJI

    August 28, 2023
  • DC LULANDALA AWAPA MACHINGA SIKU 3 KUHAMIA KWENYE SOKO LAO

    August 25, 2023
  • MKESHA WA MWENGE WA UHURU 2023 KUAMBATANA NA KUSHEREKEA MAFANIKIO YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    August 22, 2023
  • Onyesha Zote

Maktaba ya video

Ubunifu mkoa wa Songwe
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Songwe Shindani Blogspot
  • Watumishi Portal
  • Tunduma yapata hati Inayoridhisha
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019
  • Tangazo la kazi sekta ya Afya
  • Sherehe za Muungano
  • Kibali cha Matangazo

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti ya Mkoa wa Songwe
  • OR-TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Msampania, Chapwa - Tunduma

    Sanduku la Posta: P. O. BOX 73

    Simu ya Mezani: +255 25 2957388

    Simu ya Mkononi: +255 752 807 767

    Barua Pepe: td@tundumatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya mji Tunduma. Haki zote zimehifadhiwa